Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+

  • 1 Samweli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+

  • Ayubu 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mnionyeshe kibali kidogo, mnionyeshe kibali kidogo, enyi rafiki zangu,+

      Kwa kuwa mkono wenyewe wa Mungu umenigusa.+

  • Isaya 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki