13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+
12Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+