Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. 1 Petro 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe, ninyi nyote iweni na akili zinazopatana,+ mkionyesha hisia-mwenzi, mkiwa na upendo wa kindugu, wenye huruma nyororo,+ wanyenyekevu katika akili,+
8 Mwishowe, ninyi nyote iweni na akili zinazopatana,+ mkionyesha hisia-mwenzi, mkiwa na upendo wa kindugu, wenye huruma nyororo,+ wanyenyekevu katika akili,+