Ayubu 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini, ili kuwe na badiliko, tafadhali nyoosha mkono wako, uguse kila kitu alicho nacho, uone kama hatakulaani wewe mbele za uso wako.”+ Zaburi 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana mishale yako imepenya sana ndani yangu,+Nao mkono wako umeshuka juu yangu.+
11 Lakini, ili kuwe na badiliko, tafadhali nyoosha mkono wako, uguse kila kitu alicho nacho, uone kama hatakulaani wewe mbele za uso wako.”+