Ruthu 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+ Zaburi 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mkono wako ulikuwa mzito juu yangu mchana na usiku.+Umajimaji wa uhai wangu umenyauka kama wakati wa joto kavu la kiangazi.+ Sela.
13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+
4 Kwa maana mkono wako ulikuwa mzito juu yangu mchana na usiku.+Umajimaji wa uhai wangu umenyauka kama wakati wa joto kavu la kiangazi.+ Sela.