Mwanzo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+ Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao. Isaya 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+
17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.
9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+