Mwanzo 38:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+ Hesabu 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wana wa Yuda wakawa, kulingana na familia zao: Wa Shela+ familia ya Washela; wa Perezi+ familia ya Waperezi; wa Zera+ familia ya Wazera. 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano. Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;Perezi akamzaa Hezroni;+Hezroni akamzaa Ramu;+
29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+
20 Nao wana wa Yuda wakawa, kulingana na familia zao: Wa Shela+ familia ya Washela; wa Perezi+ familia ya Waperezi; wa Zera+ familia ya Wazera.