Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+

  • Mwanzo 46:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+

      Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+

  • Ruthu 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi hivi ndivyo vizazi vya Perezi:+ Perezi akamzaa Hezroni;+

  • Mathayo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;

      Perezi akamzaa Hezroni;+

      Hezroni akamzaa Ramu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki