Mwanzo 38:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+ Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+ Ruthu 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi hivi ndivyo vizazi vya Perezi:+ Perezi akamzaa Hezroni;+ Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;Perezi akamzaa Hezroni;+Hezroni akamzaa Ramu;+
29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+
12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+