Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+ Hesabu 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wana wa Perezi wakawa: Wa Hezroni+ familia ya Wahezroni; wa Hamuli+ familia ya Wahamuli. 1 Mambo ya Nyakati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+