18 Sasa Yuda akamkaribia, akamwambia: “Nakuomba, bwana wangu, tafadhali mruhusu mtumwa wako aongee neno masikioni mwa bwana wangu,+ wala usiache hasira+ yako iwake juu ya mtumwa wako, kwa sababu wewe ni kama Farao.+
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+
5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”