Mwanzo 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini yeye akaendelea kusema: “Tafadhali, Yehova na asiwake hasira,+ bali acha niendelee kusema:+ Tuseme 30 wapatikane humo.” Naye akamjibu: “Mimi sitafanya hivyo nikipata 30 humo.”
30 Lakini yeye akaendelea kusema: “Tafadhali, Yehova na asiwake hasira,+ bali acha niendelee kusema:+ Tuseme 30 wapatikane humo.” Naye akamjibu: “Mimi sitafanya hivyo nikipata 30 humo.”