Mwanzo 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini akaendelea kusema: “Tafadhali Yehova, usiwake hasira,+ niruhusu niendelee kuongea: Tuseme ni 30 tu wanaopatikana humo.” Akamjibu: “Sitaliangamiza nikipata 30 humo.” Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:30 cl 203 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:30 Mkaribie Yehova, uku. 203
30 Lakini akaendelea kusema: “Tafadhali Yehova, usiwake hasira,+ niruhusu niendelee kuongea: Tuseme ni 30 tu wanaopatikana humo.” Akamjibu: “Sitaliangamiza nikipata 30 humo.”