Mwanzo 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini yeye akaendelea kusema: “Tafadhali, Yehova na asiwake hasira,+ bali acha niendelee kusema:+ Tuseme 30 wapatikane humo.” Naye akamjibu: “Mimi sitafanya hivyo nikipata 30 humo.” Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:30 cl 203 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:30 Mkaribie Yehova, uku. 203
30 Lakini yeye akaendelea kusema: “Tafadhali, Yehova na asiwake hasira,+ bali acha niendelee kusema:+ Tuseme 30 wapatikane humo.” Naye akamjibu: “Mimi sitafanya hivyo nikipata 30 humo.”