Waamuzi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini bwana wake akamwambia: “Tusigeuke kando kuingia katika jiji la wageni+ ambao si sehemu ya wana wa Israeli; basi tuvuke mpaka Gibea.”+ 1 Samweli 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+
12 Lakini bwana wake akamwambia: “Tusigeuke kando kuingia katika jiji la wageni+ ambao si sehemu ya wana wa Israeli; basi tuvuke mpaka Gibea.”+
26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+