Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake.

      Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+

  • Waamuzi 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika pamoja kutoka katika majiji kwenda Gibea ili watoke kupigana na wana wa Israeli.

  • 1 Samweli 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baadaye hao wajumbe wakaja Gibea+ la Sauli na kusema maneno hayo masikioni mwa watu, na watu wote wakaanza kupaaza sauti zao na kulia.+

  • 1 Samweli 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Sauli akajichagulia watu elfu tatu katika Israeli; na elfu mbili walikuwa pamoja na Sauli huko Mikmashi+ na katika eneo lenye milima la Betheli, na elfu moja wakawa pamoja na Yonathani+ huko Gibea+ la Benyamini, naye akawaacha watu wale wengine waende zao, kila mmoja kwenye hema lake.

  • 2 Samweli 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na tupewe watu saba kati ya wanawe;+ nasi tuwaweke mbele+ za Yehova katika Gibea+ la Sauli, aliyechaguliwa na Yehova.”+ Basi mfalme akasema: “Mimi mwenyewe nitawatoa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki