18Na ikawa kwamba, mara tu alipomaliza kusema na Sauli, nafsi ya Yonathani+ ikashikamana+ na nafsi ya Daudi, na Yonathani akaanza kumpenda kama nafsi yake mwenyewe.+
4 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Mambo yaliendaje? Niambie tafadhali.” Naye akasema: “Watu wamekimbia kutoka vitani na pia watu wengi wameanguka, wakafa,+ na hata Sauli+ na Yonathani+ mwana wake wamekufa pia.”
7 Hata hivyo, mfalme akamhurumia Mefiboshethi+ mwana wa Yonathani mwana wa Sauli kwa sababu ya kile kiapo+ cha Yehova kilichokuwa kati yao, kati ya Daudi na Yonathani mwana wa Sauli.