Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Yonathani mwana wa Sauli alipendezwa sana na Daudi.+ Kwa hiyo Yonathani akamwambia Daudi, akisema: “Sauli baba yangu anatafuta kukuua. Basi sasa jilinde, tafadhali, wakati wa asubuhi, nawe ukae mahali pa siri na ujifiche.+

  • 1 Samweli 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 20:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Yule mtumishi akaenda. Naye Daudi akasimama kutoka hapo karibu na upande wa kusini. Kisha akaanguka kifudifudi+ na kuinama mara tatu; nao wakaanza kubusiana+ na kuliliana, mpaka ikawa Daudi ndiye aliyelia zaidi.+

  • 2 Samweli 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu,

      Ulinipendeza sana.+

      Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu sana kuliko upendo kutoka kwa wanawake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki