Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pale utakapokufa nitakufa nami,+ na hapo ndipo nitakapozikwa. Yehova na anitende hivyo na kuzidi+ ikiwa chochote isipokuwa kifo kitatutenganisha mimi na wewe.”

  • 1 Samweli 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa maana alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Yonathani mwana wa Sauli alipendezwa sana na Daudi.+ Kwa hiyo Yonathani akamwambia Daudi, akisema: “Sauli baba yangu anatafuta kukuua. Basi sasa jilinde, tafadhali, wakati wa asubuhi, nawe ukae mahali pa siri na ujifiche.+

  • 1 Samweli 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 20:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Yule mtumishi akaenda. Naye Daudi akasimama kutoka hapo karibu na upande wa kusini. Kisha akaanguka kifudifudi+ na kuinama mara tatu; nao wakaanza kubusiana+ na kuliliana, mpaka ikawa Daudi ndiye aliyelia zaidi.+

  • 1 Samweli 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+

  • Methali 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+

  • Methali 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki