2 Samweli 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+ Mathayo 26:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Naye akaenda moja kwa moja kwa Yesu akasema: “Siku njema, Rabi!”+ na kumbusu+ kwa wororo sana.
31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+