28 Nawe umpe Yoshua utume+ na kumtia moyo na kumwimarisha, kwa maana yeye ndiye atakayevuka+ mbele ya watu hawa naye ndiye atakayewafanya warithi nchi utakayoiona.’+
18 Nami nikaendelea kuwaambia kuhusu mkono+ wa Mungu wangu, jinsi ulivyokuwa mwema juu yangu,+ na pia kuhusu maneno ya mfalme,+yale aliyoniambia. Ndipo wakasema: “Na twende, tukajenge.” Basi wakaitia mikono yao nguvu kwa ajili ya kazi hiyo njema.+
25 bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe,+ kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.+