1 Samweli 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+ Methali 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+ Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+ Matendo 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kutoka huko akina ndugu, waliposikia habari juu yetu, wakaja kukutana nasi mpaka Soko la Apio na Mikahawa Mitatu na, alipowaona, Paulo akamshukuru Mungu na kujipa moyo.+
16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+
15 Na kutoka huko akina ndugu, waliposikia habari juu yetu, wakaja kukutana nasi mpaka Soko la Apio na Mikahawa Mitatu na, alipowaona, Paulo akamshukuru Mungu na kujipa moyo.+