Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+

  • Methali 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+

  • Methali 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+

  • Matendo 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kutoka huko akina ndugu, waliposikia habari juu yetu, wakaja kukutana nasi mpaka Soko la Apio na Mikahawa Mitatu na, alipowaona, Paulo akamshukuru Mungu na kujipa moyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki