2 Wakorintho 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+
4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+