Zaburi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+ 2 Wakorintho 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo Mungu, ambaye huwafariji+ wale walioshushwa chini, alitufariji kwa kuwapo kwa Tito;
4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+