- 
	                        
            
            2 Wakorintho 1:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote, ili tupate kuweza kufariji wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo kwayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu. 
 
-