Yohana 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ninakuomba, si kwamba uwatoe ulimwenguni, bali uwalinde kwa sababu ya yule mwovu.+ Waebrania 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+ 1 Yohana 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+
25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+
2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+