Mathayo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na usituingize katika jaribu,+ bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’+ 2 Wathesalonike 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawafanya ninyi kuwa imara na kuwaepusha na yule mwovu.+ 1 Yohana 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tunajua kwamba kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu+ hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na Yule+ ambaye amezaliwa kutokana na Mungu, na yule mwovu hamshiki imara.+
18 Tunajua kwamba kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu+ hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na Yule+ ambaye amezaliwa kutokana na Mungu, na yule mwovu hamshiki imara.+