Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+

  • 1 Timotheo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+

  • Waebrania 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+

  • 1 Yohana 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki