15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”
23 Na alipokuwa amekaa huko kwa wakati fulani akaondoka na kwenda kutoka mahali mpaka mahali kupitia nchi ya Galatia+ na Frigia,+ akiwatia nguvu+ wanafunzi wote.