-
Matendo 13:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 Baada ya usomaji wa Sheria na wa Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi wa sinagogi wakatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia-moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”
-