15 Baada ya kusoma hadharani Sheria+ na Manabii, maofisa wasimamizi wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa mna neno lolote la kuwatia moyo watu, lisemeni.”
15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”