Nehemia 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha nikawaambia jinsi mkono mwema wa Mungu wangu ulivyokuwa juu yangu+ na pia maneno ambayo mfalme alikuwa ameniambia.+ Ndipo wakasema: “Twendeni tukajenge.” Basi wakaimarishana* ili kufanya kazi hiyo njema.+
18 Kisha nikawaambia jinsi mkono mwema wa Mungu wangu ulivyokuwa juu yangu+ na pia maneno ambayo mfalme alikuwa ameniambia.+ Ndipo wakasema: “Twendeni tukajenge.” Basi wakaimarishana* ili kufanya kazi hiyo njema.+