Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Huyo Ezra alitoka Babiloni. Alikuwa mwandishi* na aliijua vizuri* Sheria ya Musa,+ iliyotolewa na Yehova Mungu wa Israeli. Mfalme alimpa kila kitu alichoomba, kwa maana mkono wa Yehova Mungu wake ulikuwa juu yake.

  • Ezra 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye amenitendea kwa upendo mshikamanifu mbele ya mfalme,+ washauri wake,+ na wakuu wote wa mfalme wenye nguvu. Hivyo nikajipa ujasiri* kwa sababu mkono wa Yehova Mungu ulikuwa juu yangu, nami nikawakusanya wanaume waliokuwa viongozi* katika Israeli ili wapande pamoja nami.

  • Nehemia 2:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha nikamwambia mfalme: “Ukipenda, Ee mfalme, naomba nipewe barua niwapelekee magavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,*+ ili waniruhusu kupita hadi nifike Yuda salama salimini, 8 pia barua nimpelekee Asafu mtunzaji wa Bustani ya Mfalme,* ili anipe mbao za kujengea mihimili ya malango ya Ngome+ ya ile Nyumba* na kuta za jiji+ na nyumba nitakayoishi.” Basi mfalme akanipa barua hizo,+ kwa sababu mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki