Matendo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi katika siku hizo manabii+ walishuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia. Matendo 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.
13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.