Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.

  • Matendo 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe walikuwa manabii+ pia, wakawatia moyo akina ndugu kwa hotuba nyingi na kuwatia nguvu.+

  • 1 Wakorintho 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+

  • Waefeso 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki