-
1 Wakorintho 12:28Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
28 Na Mungu amewaweka watu fulani mmoja-mmoja katika kutaniko, kwanza, mitume; pili, manabii; tatu, walimu, kisha kazi zenye nguvu; kisha zawadi za maponyo; utumishi mbalimbali wenye msaada, uwezo mbalimbali wa kuelekeza, lugha tofauti.
-