28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko: kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu;+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za uponyaji;+ huduma za kusaidia; uwezo wa kuelekeza;+ na lugha mbalimbali.+
28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+