Matendo 13:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli. Yakobo 3:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu,+ ndugu zangu, mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito zaidi.+
13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.
3 Si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu,+ ndugu zangu, mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito zaidi.+