-
Matendo 13:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.
-