13Basi katika kutaniko la huko Antiokia kulikuwa na manabii na walimu:+ Barnaba, Simioni aliyeitwa Nigeri, Lukio wa Kirene, Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.
13Basi katika Antiokia kulikuwa na manabii+ na walimu katika kutaniko la mahali hapo, Barnaba na vilevile Simioni aliyeitwa Nigeri, na Lukio+ wa Kirene, na Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.