Matendo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi katika siku hizo manabii+ walishuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia. Matendo 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nao Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe walikuwa manabii+ pia, wakawatia moyo akina ndugu kwa hotuba nyingi na kuwatia nguvu.+ 1 Wakorintho 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+ Waefeso 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+
32 Nao Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe walikuwa manabii+ pia, wakawatia moyo akina ndugu kwa hotuba nyingi na kuwatia nguvu.+
28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+
11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+