Kumbukumbu la Torati 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii. Mathayo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana palipo na wawili au watatu wakiwa wamekusanyika pamoja katika jina langu,+ hapo mimi nipo katikati yao.”+ Matendo 2:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nao wakaendelea kujitoa wenyewe kwa fundisho la mitume na kushirikiana,+ katika kula milo+ na katika sala.+ Matendo 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo kulikuwa na taa nyingi katika chumba cha juu+ tulipokuwa tumekusanyika pamoja.
12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.
20 Kwa maana palipo na wawili au watatu wakiwa wamekusanyika pamoja katika jina langu,+ hapo mimi nipo katikati yao.”+
42 Nao wakaendelea kujitoa wenyewe kwa fundisho la mitume na kushirikiana,+ katika kula milo+ na katika sala.+