22 Nao wakafanya sherehe za keki zisizo na chachu+ kwa siku saba nao wakashangilia; kwa maana Yehova aliwafanya washangilie, naye alikuwa ameugeuza+ moyo wa mfalme wa Ashuru kuwaelekea ili kuitia nguvu mikono yao katika kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli, Mungu wa Israeli.
14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+