2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.
15 Na wale walio mbali watakuja na kujenga katika hekalu la Yehova.”+ Nanyi mtajua ya kuwa Yehova wa majeshi mwenyewe amenituma kwenu.+ Nayo yatatukia—bila shaka ikiwa mtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.’ ”+
21 na awape ninyi vifaa vyema vya kila namna ili kufanya mapenzi yake, akifanya katika sisi kupitia Yesu Kristo lile ambalo linapendeza vema machoni pake;+ ambaye kwake kuwe na utukufu milele na milele.+ Amina.