Ezra 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na abarikiwe Yehova Mungu wa mababu zetu,+ ambaye ameweka jambo hili katika moyo+ wa mfalme, kuirembesha+ nyumba ya Yehova, iliyoko Yerusalemu! Methali 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+
27 Na abarikiwe Yehova Mungu wa mababu zetu,+ ambaye ameweka jambo hili katika moyo+ wa mfalme, kuirembesha+ nyumba ya Yehova, iliyoko Yerusalemu!