22 Nao wakafanya sherehe za keki zisizo na chachu+ kwa siku saba nao wakashangilia; kwa maana Yehova aliwafanya washangilie, naye alikuwa ameugeuza+ moyo wa mfalme wa Ashuru kuwaelekea ili kuitia nguvu mikono yao katika kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli, Mungu wa Israeli.