22 Pia, wakasherehekea kwa shangwe Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ kwa siku saba, kwa maana Yehova aliwafanya washangilie na alikuwa ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru ili awatendee mema,+ hivi kwamba akawaunga mkono katika kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli, Mungu wa Israeli.