Ezra 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova Mungu wa mababu zetu na asifiwe, ambaye alitia ndani ya moyo wa mfalme wazo la kuipamba nyumba ya Yehova iliyo Yerusalemu!+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+
27 Yehova Mungu wa mababu zetu na asifiwe, ambaye alitia ndani ya moyo wa mfalme wazo la kuipamba nyumba ya Yehova iliyo Yerusalemu!+
21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+