Kutoka 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Mtaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ kwa sababu siku hiyo, nitayatoa makundi yenu makubwa* katika nchi ya Misri. Nanyi mnapaswa kuiadhimisha siku hiyo katika vizazi vyenu vyote kwa kuwa ni sheria ya kudumu. Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+
17 “‘Mtaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ kwa sababu siku hiyo, nitayatoa makundi yenu makubwa* katika nchi ya Misri. Nanyi mnapaswa kuiadhimisha siku hiyo katika vizazi vyenu vyote kwa kuwa ni sheria ya kudumu.
6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+