Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+

  • Kutoka 34:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana nitayafukuzia mbali mataifa toka mbele yako,+ nami nitalipanua eneo lako;+ wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati utakapokuwa ukienda kuuona uso wa Yehova Mungu wako mara tatu kwa mwaka.+

  • Yeremia 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki