Mwanzo 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+ Kutoka 34:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana nitayafukuzia mbali mataifa toka mbele yako,+ nami nitalipanua eneo lako;+ wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati utakapokuwa ukienda kuuona uso wa Yehova Mungu wako mara tatu kwa mwaka.+ Yeremia 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+
24 Kwa maana nitayafukuzia mbali mataifa toka mbele yako,+ nami nitalipanua eneo lako;+ wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati utakapokuwa ukienda kuuona uso wa Yehova Mungu wako mara tatu kwa mwaka.+
11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+