Mwanzo 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 40 alipomchukua Rebeka binti ya Bethueli,+ Msiria,+ wa Padan-aramu, dada ya Labani Msiria, awe mke wake. Kumbukumbu la Torati 26:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+ Hosea 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+
20 Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 40 alipomchukua Rebeka binti ya Bethueli,+ Msiria,+ wa Padan-aramu, dada ya Labani Msiria, awe mke wake.
5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+
12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+