5 Kwa hiyo Isaka akamwacha Yakobo aende, naye akafunga safari kwenda Padan-aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Msiria,+ ndugu ya Rebeka,+ mama ya Yakobo na Esau.+
5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+